Il dit : "La science n’est qu’auprès d’Allah. Je vous transmets cependant le message avec lequel j’ai été envoyé. Mais je vois que vous êtes des gens ignorants."
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Hūd, amani imshukie, akasema, “Hakika ujuzi wa adhabu mliyoahidiwa uko kwa Mwenyezi Mwenyezi Mungu, na kwa kweli mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, ninawafikishia ujumbe Alionituma nao, na lakini mimi ninawaona kuwa ni watu mlio wajinga kwa kuifanyia haraka adhabu na kuwa na ujasiri juu ya Mwenyezi Mungu.