Se connecter
Se connecter
Se connecter
Sélectionner la langue

Tafsir: Ad-Dariyat 51:50

51:50
ففروا الى الله اني لكم منه نذير مبين ٥٠
فَفِرُّوٓا۟ إِلَى ٱللَّهِ ۖ إِنِّى لَكُم مِّنْهُ نَذِيرٌۭ مُّبِينٌۭ ٥٠
فَفِرُّوٓاْ
إِلَى
ٱللَّهِۖ
إِنِّي
لَكُم
مِّنۡهُ
نَذِيرٞ
مُّبِينٞ
٥٠
"Fuyez donc vers Allah. Moi, je suis pour vous de Sa part, un avertisseur explicite.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Basi kimbieni, enyi watu , kutoka kwenye mateso ya Mwenyezi Mungu na muelekee kwenye rehema Yake kwa kumuamini Yeye na Mtume Wake, kufuata amri Yake na kufanya mambo ya utiifu Kwake. Hakika mimi, kwenu nyinyi, ni muonyaji ambaye maonyo yake yako waziwazi. Na Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, alikuwa akizungukwa na mambo hukimbilia Swala, na huku ndiko kumkimbilia Mwenyezi Mungu.