Rappelle donc et par la grâce de ton Seigneur tu n’es ni un devin ni un possédé ;
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Basi wawaidhie, ewe Mtume, wale uliotumilizwa kwao kwa Qur’ani, kwani hukuwa wewe, kwa neema ya Mwenyezi Mungu Aliokuneemesha kwayo ya unabii na busara ya akili, ni kuhani anayetoa habari za ghaibu bila ujuzi wala mwendawazimu asiyejua analolisema, kama wanavyodai.