Or do they say, “We are all ˹a˺ united ˹front˺, bound to prevail.”?
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Au kwani wanasema makafiri wa Makkah, «Sisi ndio wenye ushupavu na busara, na jambo letu ni la pamoja. Sisi ni watu wa ushindi, na hatatushinda anayetutaka kwa ubaya.?»