Vous n’avez d’autres alliés qu’Allah, Son Messager, et les croyants qui accomplissent la prière (As-Salât), s’acquittent de l’aumône (Az-Zakât), et s’inclinent (devant Allah).
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Hakika msaidizi wenu , enyi Waumini, ni Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na Waumini wanaojilazimisha na Swala za faradhi na wanatekeleza Zaka kwa hiari yao na hali wao ni wanyenyekevu kwa Mwenyezi Mungu.