Et lorsque vous faites l’appel à la Ṣalāt, ils la prennent en raillerie et jeu. C’est qu’ils sont des gens qui ne raisonnent point.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na anapoadhini mwadhini wenu, enyi Waumini, kuita watu kwenye Swala, Mayahudi, Wanaswara na washirikina wanafanya shere na kuukejeli mwito wenu wa hiyo Swala. Hii ni kwa sababu ya ujinga wao wa kutomjua Mola wao na kwa kuwa wao hawajui uhakika wa ibada.