Ils ont reconnu leur péché. Que les gens de la Fournaise soient anéantis à jamais.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Hivyo basi wakakubali kukanusha kwao na kukufuru kwao kulikowafanya wastahili adhabu ya Moto. Basi kuwa mbali na rehema ya Mwenyezi Mungu ni kwa watu wa Motoni!