de les remplacer par de meilleurs qu’eux, et nul ne peut Nous en empêcher.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
kuwa Sisi tunaweza kuwaleta watu badala yao walio bora zaidi kuliko wao na watiifu zaidi wa Mwenyezi Mungu. Na hakuna yoyote atakayetushinda na kutuponyoka na kutuelemea iwapo tunataka kumrudisha uhai baada ya kufa.