et offrent la nourriture, malgré son amour 1, au pauvre, à l’orphelin et au prisonnier,
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na wanalisha chakula, pamoja na kuwa wanakipenda na kukihitajia, kumpa fukara asiyeweza kuchuma, asiyemiliki chochote katika vitu vya kilimwengu, na kumpa mtoto aliyefiliwa na babake kabla ya kubaleghe na asiye na mali, na kumpa mtu aliyetekwa vitani miongoni mwa washirikina na wengineo,