C’est le Jour de la Décision [Jugement], où nous vous réunirons ainsi que les anciens.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Hii ni Siku ambayo Mwenyezi Mungu Atatoa uamuzi baina ya viumbe, na ukweli na ubatilifu utapambanuka. Tutawakusanya nyinyi Siku hiyo, enyi makafiri wa ummah huu, pamoja na makafiri wa mwanzo miongoni mwa ummah waliopita.