Après cela, en quelle parole croiront-ils donc 1 ?
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Iwapo wao hawataiamini hii Qur’ani, basi wataamini kitabu gani na maneno gani baada yake? Na Qur’ani yenyewe ni Kitabu kilichobainisha kila kitu, kilicho wazi katika hekima zake, hukumu zake na habari zake, chenye kushinda katika matamko yake na maana yake.