"Puisque Tu m’as induit en erreur, dit [Satan], je m’assoirai pour eux sur Ton droit chemin,
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Iblisi akasema, Mwenyezi Mungu Amlaani, «Kwa sababu ya kuwa wewe umenipoteza, nitafanya bidii katika kuwapoteza binadamu wawe kando ya njia yako iliyolingana sawa na nitawazuia wao wasiuuandame Uislamu ambao wanasibiana na umbile lao ulilowaumbia.