Et c’est ainsi que Nous exposons en détail les signes. Peut-être reviendront-ils?
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na kama tulivyozipambanua hizo aya na tukaeleza ndani yake tulichowafanyia watu waliopita, ndivyo tunavyozipambanua aya na kuzieleza kwa watu wako, ewe Mtume, kwa kutazamia kwamba watarudi waache ushirikina wao na warajee kwa Mola wao.