Les notables de son peuple qui ne croyaient pas dirent : "Certes, nous te voyons en pleine sottise, et nous pensons que tu es du nombre des menteurs".
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Wakasema wale viongozi waliokufuru katika watu wa Hūd, «Sisi tunajua kwamba wewe, kwa kutuita sisi kuacha kuabudu waungu wetu na kumuabudu Mwenyezi Mungu, Peke Yake, ni mpungufu wa akili, na sisi tunaamini kwamba wewe, kwa hayo usemayo, ni katika wale wanaomzuluia Mwenyezi Mungu warongo.»