Notre Seigneur ! Pardonne-moi, ainsi qu’à mes père et mère et aux croyants, le Jour de la Reddition des Comptes !”
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
«Ewe Mola wetu! Nisamehe iwapo yametukia kutoka kwangu mambo ambayo binadamu hawasalimiki nayo, na uwasamehe wazazi wangu wawili (Hapa ni kambla haijamfunukia kwamba baba yake ni adui wa Mwenyezi Mungu) na uwasamehe Waumini wote Siku ambayo watu watasimama kuhesabiwa na kulipwa..»