Et Nous révélâmes à Moïse : "Jette ton bâton !" Et voilà que celui-ci se mit à engloutir ce qu’ils avaient fabriqué.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Hapo Mwenyezi Mungu Alimletea wahyi mja Wake na Mtume Wake Mūsā, amani imshukiye, katika kisimamo hicho kikubwa ambacho hapo Mwenyezi Mungu Alipambanua baina ya ukweli na urongo, akimuamuru akitupe kilichoko kwenye mkono wake wa kulia, nacho ni fimbo yake. Akaitupa na papo hapo ikawa inavimeza vile wanavyovitupa na kuwafanya watu wadhanie kuwa ni vya kweli na ilhali ni vya urongo.