Je vais vous couper la main et la jambe opposées, et puis, je vous crucifierai tous."
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
«Nitaikatakata mikono yenu na miguu yenu, enyi wachawi, kwa kupishana: kwa kuukata mkono wa kulia na mguu wa kushoto au mkono wa kushoto na mguu wa kulia, kisha nitawatungika nyinyi nyote juu ya vigogo vya mitende kwa njia ya kuwatesa na ili kuwafanya watu watishike.»