Se connecter
Se connecter
Se connecter
Sélectionner la langue

Tafsir: Al-A'raf 7:49

7:49
اهاولاء الذين اقسمتم لا ينالهم الله برحمة ادخلوا الجنة لا خوف عليكم ولا انتم تحزنون ٤٩
أَهَـٰٓؤُلَآءِ ٱلَّذِينَ أَقْسَمْتُمْ لَا يَنَالُهُمُ ٱللَّهُ بِرَحْمَةٍ ۚ ٱدْخُلُوا۟ ٱلْجَنَّةَ لَا خَوْفٌ عَلَيْكُمْ وَلَآ أَنتُمْ تَحْزَنُونَ ٤٩
أَهَٰٓؤُلَآءِ
ٱلَّذِينَ
أَقۡسَمۡتُمۡ
لَا
يَنَالُهُمُ
ٱللَّهُ
بِرَحۡمَةٍۚ
ٱدۡخُلُواْ
ٱلۡجَنَّةَ
لَا
خَوۡفٌ
عَلَيۡكُمۡ
وَلَآ
أَنتُمۡ
تَحۡزَنُونَ
٤٩
Est-ce donc ceux-là au sujet desquels vous juriez qu’ils n’obtiendront de la part d’Allah aucune miséricorde...? - Entrez au Paradis! Vous serez à l’abri de toute crainte et vous ne serez point affligés.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Je madhaifu na mafukara hawa, kati ya watu wa Peponi, ndio wale mlioapa huko duniani kwamba Mwenyezi Mungu Hatawakusanya Siku ya Kiyama Awatie kwenye rehema na Hatawaingiza Peponi? Ingieni Peponi, enyi watu wa Al- A'rāf, hakika mumesamehewa; hamna tene kicho cha kupata adhabu ya Mwenyezi Mungu, wala hamtahuzunika juu ya hadhi za duniani zilizowapita.