Ils égorgèrent la chamelle, désobéirent au commandement de leur Seigneur et dirent: “Ô Sâlîh ! Fais nous venir ce dont tu nous menaces, si tu es du nombre des Envoyés.”
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Wakamchinja ngamia kwa kutojali onyo la Ṣāliḥ, na wakaingiwa na kiburi kilichowafanya wasifuate amri ya Mola wao na wakasema, kwa njia ya shere na kwa kuona kuwa adhabu iko mbali na wao, «Ewe Ṣāliḥ, tuletee hiyo adhabu ambayo unatuonya nayo, iwapo wewe ni miongoni mwa Mitume wa Mwenyezi Mungu!»