Et les notables de son peuple qui ne croyaient pas, dirent : "Si vous suivez Chuaïb, vous serez assurément perdants."
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Wakasema watukufu na wakubwa wenye kukanusha, wenye kupinga ulinganizi wa Tawhīd (kumpwekesha Mwenyezi Mungu) waliofikia kiwango cha juu katika ujeuri na uasi, wakitahadharisha kwamba Shu'ayb asifuatwe, «Kwa hakika, lau mnamfuata Shu'ayb, nyinyi kwa hivyo ni wenye kuangamia.»