Ceux-là n’auront, dans l’au-delà, que le Feu. Ce qu’ils auront fait ici-bas sera un échec, et vain sera ce qu’ils auront œuvré.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Hao hawana huko Akhera isipokuwa Moto wa Jahanamu wakiadhibika kwa joto lake, na yatawaondokea wao manufaa na yale mema waliyoyatenda, na matendo yao yatatanguka kwa kuwa hayakuwa yanakusudiwa Mwenyezi Mungu.