Ceux qui obstruent le sentier d’Allah (aux gens), cherchent à rendre tortueux et ne croient pas en l’au-delà.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Hawa madhalimu ni wale ambao wanawazuia watu na njia ya Mwenyezi Mungu yenye kupelekea kumuubudu na wanataka njia hizi ziwe kombo ziambatane na matamanio yao na wao wanaikanusha Akhera, hawaamini kufufuliwa wa kulipwa.