Et il en est parmi eux qui te prêtent l’oreille. Est-ce toi qui fais entendre les sourds, même s’ils sont incapables de raisonner.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na miongoni mwa makafiri kuna wanaosikia maneno yako ya kweli na usomaji wako Qur’ani, lakini wao hawaongoki. Je, kwani wewe unaweza kuwasikizisha viziwi? Vilevile, huwezi kuwaongoa hawa isipokuwa Mwenyezi Mungu Atake kuwaongoa, kwa kuwa wao ni viziwi, hawaisikii haki na hawaielewi.