C’est à Allah qu’appartient, ce qui est dans les cieux et ce qui est sur la Terre. Que suivent donc ceux qui invoquent, en dehors d’Allah, [des divinités] qu’ils Lui associent ? Ils ne suivent que la conjecture et ne font que mentir.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Jueni mtanabahi kwamba ni wa Mwenyezi Mungu kila aliye mbinguni au ardhini miongoni mwa Malaika, binadamu, majini na wengineo. Na ni nini wanachofuata wale wanaowaomba asiyekuwa Mwenyezi Mungu katika hao washirika? Hawana wanachokifuata isipokuwa shaka, na wao hawana lolote isipokuwa wanasema urongo katika yale ambayo wanamnasibisha nayo Mwenyezi Mungu.