Et ils le vendirent à vil prix : pour quelques dirhams comptés. Ils le considéraient comme indésirable.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na ndugu zake wakamuuza kwa wachota maji miongoni mwawasafiri kwa thamani chache ya dirhamu, na wakawa hawana haja na yeye, wanataka kuepukana na yeye. Hivyo ni kwa kuwa hawakijui cheo chake kwa Mwenyezi Mungu.