Joseph, ne pense plus à cela ! Et toi, (femme), implore le pardon pour ton péché car tu es fautive !”
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Akasema kiongozi wa Misri, «Ewe Yūsuf! acha kutaja mambo yaliykuwa kutoka kwake na usimwambie yoyote. Na uombe msamaha wa dhambi zako kwa Mola wako, ewe mwanamke, iwapo wewe ni miongoni mwa wale waliofanya hatia kwa kumtaka Yūsuf kimapenzi bila ya yeye kutaka na kwa kumzulia urongo.»