Et [Joseph] dit : “Assigne-moi les dépôts du territoire! Je suis bon gardien et connaisseur.”
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Yūsuf akataka kuwanufaisha waja na kueneza uadilifu baina yao, alimwambia mfalme, «Nifanye mimi kuwa msimamizi wa hazina za Misri, kwani mimi ni mshika hazina mwaminifu mwenye ujuzi na busara juu ya vitu ninavyosimamia.»