Et il se détourna d’eux et dit: “Que mon chagrin est grand pour Joseph! ” Et ses yeux blanchirent d’affliction. Et il était accablé.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Ya’qūb akawapa mgongo na asishughulike nao, ukiwa moyo wake umeingia dhiki kwa maneno waliyoyasema, na akasema, «Ewe hasara yangu juu ya Yūsuf!» Na macho yake yakawa meupe, kwa kuondoka weusi wake kwa masikitiko mengi. Moyo wake umejaa tele huzuni, lakini alikuwa akiificha sana.