Et dès que la caravane eut franchi la frontière [de Canaan], leur père dit : “Je décèle, certes, l’odeur de Joseph, même si vous dites que je radote.”
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Msafara ulipotoka nchi ya Misri wakiwa na ile kanzu, Ya’qūb alisema kuwaambia wale waliokuwa na yeye, «Mimi nasikia harufu ya Yūsuf, ingawa nyinyi mtanifanya ni mchache wa akili, mtanicheza shere na mtadai kwamba maneno haya yametoka kwangu bila ya fahamu.»