Quand ces jeunes gens se réfugièrent dans la caverne, ils dirent : "Ô notre Seigneur ! Donne-nous de Ta part une miséricorde ! Et assure nous la droiture dans tout ce qui nous concerne."
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Kumbuka, ewe Mtume, pindi walipohamia vijana Waumini kwenye pango kwa kuchelea wasiteswe na watu wao na kulazimishwa kuabudu masanamu, na wakasema, «Mola wetu! Tupe rehema kutoka kwako, ambayo kwayo ututhibitishe na utuhifadhi na shari, na utusahilishie njia ya sawa yenye kutupelekea kufanya matendo unayoyapenda, tuwe waongofu na tusiwe wapotevu.»