En entrant dans ton jardin, que n’as-tu dit : “Telle est la volonté (et la grâce) d’Allah ! Il n’y a de puissance que par Allah.” Si tu me vois moins pourvu que toi en biens et en enfants,
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
«Kwani si ingalikuwa afadhali, ulipoingia kwenye shamba lako na likakupendeza, kama ulimshukuru Mwenyezi Mungu na ukasema, ‘Haya ni yale Aliyenitakia Mwenyezi Mungu, sina nguvu ya kuyapata isipokuwa ni kwa Mwenyezi Mungu.’ Iwapo waniona mimi kuwa ni mchache wa mali na watoto kuliko wewe,