[L’autre] lui dit : "Ne t’ai-je pas dis que tu ne pourrais pas garder patience en ma compagnie ?
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Akasema Al-Khiḍr kumwambia Mūsā kwa kumlaumu na kumkumbusha, «Je, sikukwambia kuwa wewe hutoweza kuvumilia pamoja na mimi kwa matendo unayoyaona kutoka kwangu katika yale ambayo hayakuzungukwa na ujuzi wako?»