Ni leurs bien, ni leurs enfants ne leur seront d’aucune utilité contre la [punition] d’Allah. Ce sont les gens du Feu où ils demeureront éternellement.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Hayatawakinga wanafiki hawa mali yao wala watoto wao kitu chochote na adhabu ya Mwenyezi Mungu. Hao ni watu wa Motoni, watauingia na wasalie humo milele, hawatatoka humo kabisa. Malipo haya yanamkusanya kila anayeiwekea kizuizi Dini ya Mwenyezi Mungu kwa maneno yake au vitendo vyake.