Ceux qui sont restés dans leurs foyers dirent à leurs frères : "S’ils nous avaient obéi, ils n’auraient pas été tués." Dis : " Ecartez donc de vous la mort, si vous êtes véridiques !"1
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Wanafiki hawa ndio wale walioketi wakawaambia ndugu zao waliopata msiba pamoja na Waislamu kwenye vita vyao na washirikina siku ya Uhud, «Lau kama watu hawa wangalitutii hawangaliuawa.» Sema, ewe Mtume, uwaambie «Zizuieni nafsi zenu na kifo, ikiwa nyinyi ni wa kweli katika madai yenu kwamba wao kama wangaliwatii hawangaliuawa na kwamba mumeokoka na mauti kwa kukaa kwenu kutokwenda vitani.»