Et informe-les que l’eau sera en partage entre eux [et la chamelle]; chacun boira à son tour.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na uwape habari kwamba maji yamegawanywa baina ya watu wako na ngamia: ngamia ana siku yake na nyinyi mna siku yenu, kila siku ya kunywa atakuja yule ambaye ni siku yake aliyogawanyiwa, na atakatazwa yule ambaye si siku yake aliyogawanyiwa.