Ou bien ils disent : "Nous formons un groupe [fort] et nous vaincrons."
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Au kwani wanasema makafiri wa Makkah, «Sisi ndio wenye ushupavu na busara, na jambo letu ni la pamoja. Sisi ni watu wa ushindi, na hatatushinda anayetutaka kwa ubaya.?»