Celui qui est croyant est-il comparable au pervers ? (Non), ils ne sont point égaux.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Je, Yule Aliyekuwa mtiifu kwa Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, mwenye kuamini agizo lake la kuwalipa mema wema wenye kufanya mema na kuwalipa ubaya wenye kufanya mabaya, ni kama yule aliyemkanusha Mwenyezi Mungu na Mitume Yake na akaikanusha Siku ya Kiyama? Hawalingani mbele ya Mwenyezi Mungu.