En effet, ceux d’avant eux avaient crié au mensonge. Quelle fut alors Ma réprobation !
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Kwa hakika walikanusha wale waliokuwa kabla ya makafiri wa Makkah kama vile watu wa Nuchouh, 'Ād na Thamūd walivyowakanusha Mitume wao. Basi kulikuwa namna gani kule kuwakasirikia kwangu na kuwageuzia kwangu neema waliyokuwa nayo kwa kuwateremshia adhabu na kuwaangamiza?