Ils voudront sortir du Feu, mais ils n’en sortiront point. Et ils auront un châtiment permanent.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Makafiri hawa watataka watoke Motoni kwa ajili ya visanga vyake wanavyovipata, lakini hawatakuwa na njia yoyote ya kufanya hivyo. Na watakuwa na adhabu ya kudumu.