Que les gens de l’Évangile jugent d’après ce qu’Allah y a fait descendre. Et ceux qui ne jugent pas d’après ce qu’Allah a fait descendre, ceux-là sont les pervers.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Basi na wahukumu watu wa Injili, ambao alitumwa kwao Īsā, kwa yaliyoteremshwa na Mwenyezi Mungu ndani yake. Na wale ambao hawakuhukumu kwa yaliyoteremshwa na Mwenyezi Mungu, Basi hao ndio wenye kutoka kwenye amri Yake, wenye kumuasi.