Ô les croyants! Entrez en plein dans l’Islam, et ne suivez point les pas du Diable [Satan], car il est certes pour vous un ennemi déclaré.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Enyi mliomuamini Mwenyezi Mungu kuwa ndiye Mola na Muhammad kuwa ndiye Mtume na Uislamu kuwa ndiyo Dini, ingieni katika sheria zote za Uislamu, hali ya kutekeleza hukumu zake zote, wala msiache chochote kati yazo, wala msiandame njia za Shetani katika yale anayowaitia ya maasia.Hakika Shetani kwenu ni adui mwenye uadui uliyo wazi. Basi jihadharini naye.