A Allah appartient le royaume des cieux et de la terre. Et le jour où l’Heure arrivera, ce jour-là, les imposteurs seront perdus.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Ni ya Mwenyezi Mungu, Aliyetakasika, mamlaka ya mbingu saba na ardhi kwa kuziumba, kuzimiliki na kuwa ziko chini ya amri Yake. Na siku Kiyama kitakapokuja ambapo wafu watafufuliwa kutoka kwenye makaburi yao na watahesabiwa, hapo watapata hasara wale waliomkanusha Mwenyezi Mungu na kukataa kile Alichomteremshia Mtume Wake miongoni mwa aya zilizbainika na dalili zilizofunuka wazi.