Qu’ils nient ce que Nous leur avons donné et jouissent des biens de ce monde ! Ils sauront bientôt !
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na kushirikisha kwao baada ya sisi kuwaneemesha kwa kuwaokoa na bahari, ni ili iwe mwisho wake ni kuzikanusha zile tulizowaneemesha katika nafsi zao na mali zao na ili wakamilishe kujistarehesha kwao katika hii dunia. Basi wataujua uharibikaji wa matendo yao na kile Alichowaandalia wao Mwenyezi Mungu cha adhabu kali Siku ya Kiyama. Na katika hilo pana onyo na tahadharisho kwao.