Mais par contre, quand Il l’éprouve en lui restreignant sa subsistance, il dit : "Mon Seigneur m’a avili."
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na Anapomuonja na Akambania riziki yake, huwa akidhani kuwa hayo ni kwa kuwa yeye amefanywa mnyonge na Mwenyezi Mungu na huwa akisema: «Mola wangu Amenifanya mnyonge.».