Mais non ! C’est vous plutôt, qui n’êtes pas généreux envers les orphelins ;
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Hali ya mambo si kama anavyodhania binadamu huyu, kwani mtu hutukuzwa kwa kumtii Mwenyzi Mungu na hufanywa mnyonge kwa kumuasi Mwenyezi Mungu. Na nyinyi hamwakirimu mayatima na kuwatendea wema.