Puis j’ai saisi ceux qui ont mécru. Et quelle réprobation fut la Mienne.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Kisha nikawakamata wale waliokanusha na kuwapa aina mbalimbali za adhabu. Basi angalia kulikuwa namna gani kukataa kwangu matendo yao na kule kuwashukia wao mateso yangu?