Ils auront là tout ce qu’ils désireront et une demeure éternelle. C’est une promesse incombant à ton Seigneur.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Hawa wenye utiifu watavipata wanavyovitamani vya ladha za neema, starehe yao humo ni ya daima, na kuingia kwao humo ilikuwa ni ahadi ya Mola wako, ewe Mtume, yenye kuombwa, kwa kuwa waja wema wa Mwenyezi Mungu wanamuomba (hiyo Pepo). Na Mwenyezi Mungu Haendi kinyume na ahadi Yake.