À tous, Nous avions proposé des paraboles et Nous les avons tous anéantis d’une façon brutale.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na ummah wote hao tuliwabainishia hoja na kuwafafanulia dalili na tukawaondolea nyudhuru (za kutojua). Pamoja na hivyo, hawakuamini, na kwa ajili hiyo tuliwapa maangamivu kwa kuwaadhibu.