Vois à quoi ils te comparent! Ils se sont égarés et ils ne peuvent trouver aucun chemin.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Tazama, ewe Mtume, namna walivyosema, hawa wakanushaji, juu yako maneno hayo ya ajabu yanayofanana na mifano kwa ugeni wake, ili wafikie kukukanusha, kwa hivyo wakawa mbali na haki, na kwa hivyo hawapati njia ya kuifikia (hiyo haki) ili wayarakibishe maneno waliyoyasema kuhusu wewe, ya urongo na uzushi.