Ô mon peuple, mais qu’ai-je à vous appeler au salut, alors que vous m’appelez au Feu ?
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
«Na enyi watu wangu! Vipi mimi ninawalingania kumuamini Mwenyezi Mungu na kumfuata Mtume Wake Mūsā, nao ni ulinganizi utakaowafanya nyinyi muishie Peponi na muwe mbali na vituko vya Moto, na nyinyi mnanilingania kufany matendo yenye kupelekea kwenye adhabu ya Mwenyezi Mungu na mateso Yake Motoni.?